1
Mezali 19:21
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Katika moyo wa mutu muna mipango mingi, lakini anachokusudia Yawe ndicho kitakachokamilika.
Compare
Explore Mezali 19:21
2
Mezali 19:17
Anayemusaidia masikini anamukopesha Yawe; Yawe atamulipa kwa tendo lake jema.
Explore Mezali 19:17
3
Mezali 19:11
Mwenye akili hakasiriki upesi; kusamehe makosa ni utukufu kwake.
Explore Mezali 19:11
4
Mezali 19:20
Sikiliza shauri na kupokea mafundisho, upate hekima ya kukufaa kwa siku zinazokuja.
Explore Mezali 19:20
5
Mezali 19:23
Kumwogopa Yawe kunaongoza kwenye uzima; anayemwogopa anajaliwa pumziko la kutoshelea, wala hatapatwa na ubaya wowote.
Explore Mezali 19:23
6
Mezali 19:8
Anayejipatia hekima anapenda nafsi yake; anayeshika ufahamu atastawi.
Explore Mezali 19:8
7
Mezali 19:18
Azibu mwana wako wakati kungali bado tumaini lakini usitafute kumwangamiza.
Explore Mezali 19:18
8
Mezali 19:9
Mushuhuda mwongo hatakosa kuazibiwa; anayesema uongo ataangamia.
Explore Mezali 19:9