1
Mezali 18:21
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ulimi una nguvu ya kuleta uzima na kuua; wanaopenda kuutumia watakula matunda yake.
Compare
Explore Mezali 18:21
2
Mezali 18:10
Jina la Yawe ni munara imara; mwenye haki anaukimbilia na kuwa salama.
Explore Mezali 18:10
3
Mezali 18:24
Warafiki wengi wanaweza kumwangusha mutu, lakini kuna rafiki mwaminifu kuliko ndugu.
Explore Mezali 18:24
4
Mezali 18:22
Anayemupata muke amepata kizuri; ni zawadi kutoka kwa Yawe.
Explore Mezali 18:22
5
Mezali 18:13
Kujibu mbele ya kusikiliza ni upumbafu na jambo la haya.
Explore Mezali 18:13
6
Mezali 18:2
Mupumbafu hapendezwi na ufahamu; kitu cha maana kwake ni maoni yake tu.
Explore Mezali 18:2
7
Mezali 18:12
Majivuno ya ndani ya moyo yanaleta maangamizi, lakini unyenyekevu unaleta heshima.
Explore Mezali 18:12