1
Mezali 16:3
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Tegemea Yawe katika kazi yako, nayo mipango yako itafanikiwa.
Compare
Explore Mezali 16:3
2
Mezali 16:9
Mutu anaweza kufanya mipango yake, lakini Yawe anaongoza hatua zake.
Explore Mezali 16:9
3
Mezali 16:24
Maneno mazuri ni kama asali. Ni matamu kwa nafsi na yenye kuupatia mwili afya.
Explore Mezali 16:24
4
Mezali 16:1
Mwanadamu anapanga mipango yake, lakini neno la mwisho ni la Yawe.
Explore Mezali 16:1
5
Mezali 16:32
Asiyekuwa mwepesi wa hasira ni bora kuliko mwenye nguvu. Anayetawala nafsi yake ni bora kuliko anayetaka muji.
Explore Mezali 16:32
6
Mezali 16:18
Kiburi kinatangulia maangamizi; majivuno yanatangulia maanguko.
Explore Mezali 16:18
7
Mezali 16:2
Matendo yote ya mutu yanaonekana kwake kuwa sawa lakini Yawe anapima nia ya mutu.
Explore Mezali 16:2
8
Mezali 16:20
Anayefikiri sana juu ya neno atafanikiwa. Heri mutu yule anayemutumainia Yawe.
Explore Mezali 16:20
9
Mezali 16:8
Afazali mali kidogo kwa njia ya haki, kuliko mapato mengi kwa njia isiyofuatana na sheria ya Mungu.
Explore Mezali 16:8
10
Mezali 16:25
Kuna njia mutu anayoona kuwa sawa, lakini kwa mwisho inaongoza kwenye kifo.
Explore Mezali 16:25
11
Mezali 16:28
Mutu mupotovu anatawanya ugomvi, na muchonganishi anatenganisha warafiki.
Explore Mezali 16:28