1
Mezali 15:1
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kujibu kwa upole kunatuliza hasira, lakini neno kali linachochea hasira.
Compare
Explore Mezali 15:1
2
Mezali 15:33
Kumwogopa Yawe ni mafundisho ya hekima; mbele ya kuheshimika inafaa kuwa munyenyekevu.
Explore Mezali 15:33
3
Mezali 15:4
Ulimi mupole ni musingi wa uzima, lakini uovu wake unavunja moyo.
Explore Mezali 15:4
4
Mezali 15:22
Mipango inaharibika kwa kukosa shauri, lakini kwa washauri wengi, inasimama.
Explore Mezali 15:22
5
Mezali 15:13
Moyo wa furaha unaangarisha uso, lakini uchungu unavunja moyo.
Explore Mezali 15:13
6
Mezali 15:3
Macho ya Yawe yanaona kila kitu, yanachunguza kibaya na kizuri.
Explore Mezali 15:3
7
Mezali 15:16
Afazali kuwa na kidogo na kumwogopa Yawe, kuliko kuwa na mali nyingi pamoja na taabu.
Explore Mezali 15:16
8
Mezali 15:18
Mutu wa hasira mbaya anasababisha ugomvi, lakini asiyekuwa mwepesi wa hasira anautuliza.
Explore Mezali 15:18
9
Mezali 15:28
Moyo wa mwenye haki unafikiri mbele ya kujibu, lakini kinywa cha mwovu kinatapika uovu.
Explore Mezali 15:28