1
Mezali 14:12
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kuna njia inayozaniwa kuwa sawa, lakini kwa mwisho inaongoza kwenye kifo.
Compare
Explore Mezali 14:12
2
Mezali 14:30
Amani ndani ya roho inamupa mutu afya, lakini wivu inaozesha mifupa.
Explore Mezali 14:30
3
Mezali 14:29
Mutu asiyekuwa mwepesi wa hasira ana akili nyingi, lakini anayekasirika upesi anaongeza upumbafu.
Explore Mezali 14:29
4
Mezali 14:1
Mwanamuke mwenye hekima anajenga nyumba yake, lakini mupumbafu anaibomoa kwa mikono yake mwenyewe.
Explore Mezali 14:1
5
Mezali 14:26
Anayemwogopa Yawe ana tumaini imara, na watoto wake watapata kimbilio salama.
Explore Mezali 14:26
6
Mezali 14:27
Kumwogopa Yawe ni chemichemi ya uzima inayowezesha mutu kuepuka mitego ya kifo.
Explore Mezali 14:27
7
Mezali 14:16
Mwenye hekima ni mwangalifu na anaepuka uovu, lakini mupumbafu hajizuizi wala hana uangalifu.
Explore Mezali 14:16