1
Mezali 12:25
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Wasiwasi ndani ya moyo inamukosesha mutu raha, lakini neno zuri linamuchangamusha.
Compare
Explore Mezali 12:25
2
Mezali 12:1
Anayependa mafundisho anapenda maarifa, lakini asiyependa kuonywa ni mujinga.
Explore Mezali 12:1
3
Mezali 12:18
Maneno ya ovyo yanaumiza kama upanga, lakini kusema kwa mwenye hekima kunaponyesha kidonda.
Explore Mezali 12:18
4
Mezali 12:15
Mupumbafu anaona njia yake kuwa sawa, lakini mwenye hekima anasikiliza shauri.
Explore Mezali 12:15
5
Mezali 12:16
Ujinga wa mupumbafu unajulikana mara moja, lakini mwerevu anazarau matusi.
Explore Mezali 12:16
6
Mezali 12:4
Muke mwema ni taji la utukufu kwa mume wake. Anayemupatisha mume wake haya ni kama kidonda ndani ya mifupa yake.
Explore Mezali 12:4
7
Mezali 12:22
Kinywa kinachosema uongo ni chukizo kwa Yawe, lakini watu waaminifu ni furaha yake.
Explore Mezali 12:22
8
Mezali 12:26
Mutu wa haki anaepuka uovu, lakini njia ya waovu inawapotosha wenyewe.
Explore Mezali 12:26
9
Mezali 12:19
Ukweli unadumu milele, lakini uongo ni wa muda kidogo tu.
Explore Mezali 12:19