1
Mezali 11:25
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mutu anayetoa kwa moyo safi atafanikishwa. Mutu anayekunywesha mwingine maji, naye atakunyweshwa.
Compare
Explore Mezali 11:25
2
Mezali 11:24
Kuna watu wanaotoa mali yao kwa wingi na kuzidi; lakini wachoyo wanazilinda na kuendelea katika umasikini.
Explore Mezali 11:24
3
Mezali 11:2
Kiburi kinazaa haya, lakini kwa watu wanyenyekevu kuna hekima.
Explore Mezali 11:2
4
Mezali 11:14
Pasipo uongozi taifa linaanguka; kwenye kuwa washauri wengi kuna usalama.
Explore Mezali 11:14
5
Mezali 11:30
Tunda la mwenye haki ni muti wa uzima, na mwenye hekima anavuta watu.
Explore Mezali 11:30
6
Mezali 11:13
Anayepitapita akichongea anatoa siri, lakini anayeaminiwa anaficha siri.
Explore Mezali 11:13
7
Mezali 11:17
Mutu mwema anafaidika yeye mwenyewe, lakini mutu mukali anajiumiza mwenyewe.
Explore Mezali 11:17
8
Mezali 11:28
Anayetegemea mali zake ataanguka, lakini mwenye haki atastawi kama jani bichi.
Explore Mezali 11:28
9
Mezali 11:4
Utajiri haufai kitu siku ya kasirani, lakini haki inaokoa kutoka kifo.
Explore Mezali 11:4
10
Mezali 11:3
Ukamilifu wa watu wa usawa unawaongoza. Upotovu wa wadanganyifu unawaangamiza.
Explore Mezali 11:3
11
Mezali 11:22
Mwanamuke muzuri asiyekuwa na akili ni kama pete ya zahabu kwenye pua la nguruwe.
Explore Mezali 11:22
12
Mezali 11:1
Mizani danganyifu ni chukizo kwa Yawe, lakini matumizi ya vipimo vya haki ni furaha kwake.
Explore Mezali 11:1