1
Wafilipi 4:6
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Musijisumbue juu ya neno lolote, lakini katika kila neno mutoe mahitaji yenu kwa Mungu, mukimwomba, mukimusihi na kumushukuru.
Compare
Explore Wafilipi 4:6
2
Wafilipi 4:7
Na amani ya Mungu inayopita ufahamu wa mutu yeyote, italinda mioyo yenu na nia zenu salama katika kuungana kwenu na Yesu Kristo.
Explore Wafilipi 4:7
3
Wafilipi 4:8
Kwa kumaliza, wandugu zangu, muweke mafikiri yenu juu ya mambo yote yanayokuwa ya kweli, ya heshima, ya haki, safi, ya kupendeza, nayo mambo yote yanayostahili sifa na ya utu wema.
Explore Wafilipi 4:8
4
Wafilipi 4:13
Ninaweza vyote kwa njia ya Kristo anayenitia nguvu.
Explore Wafilipi 4:13
5
Wafilipi 4:4
Mufurahi siku zote katika kuungana kwenu na Bwana. Na tena ninasema: Mufurahi!
Explore Wafilipi 4:4
6
Wafilipi 4:19
Basi, kwa njia ya Yesu Kristo, Mungu wangu atatimiza mahitaji yenu yote kufuatana na uwingi na utukufu wa utajiri wake.
Explore Wafilipi 4:19
7
Wafilipi 4:9
Mushike mambo yote muliyojifunza na kupokea toka kwangu, nayo yote muliyosikia na kuona kwangu. Naye Mungu wa amani atakuwa pamoja nanyi.
Explore Wafilipi 4:9
8
Wafilipi 4:5
Muonyeshe upole wenu kwa watu wote, kwa maana Bwana yuko karibu kurudia.
Explore Wafilipi 4:5
9
Wafilipi 4:12
Ninajua kuishi katika ukosefu na ninajua kuishi katika utajiri. Nimejizoeza kufurahi fasi zote na katika kila hali: ikiwa hali ya kuwa na vyakula kwa uwingi au ya njaa, ikiwa hali ya utajiri au ya ukosefu.
Explore Wafilipi 4:12
10
Wafilipi 4:11
Na sisemi hivi kwa sababu ninakosewa na kitu, kwa maana ninajizoeza kufurahi na kile ninachokuwa nacho.
Explore Wafilipi 4:11
Home
Bible
Plans
Videos