1
Wakolosayi 1:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa maana yeye ametuokoa toka katika uwezo wa giza, na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mupendwa
Compare
Explore Wakolosayi 1:13
2
Wakolosayi 1:16
Kwa njia yake, Mungu aliumba vitu vyote vinavyokuwa mbinguni na katika dunia, vyenye kuonekana na visivyoonekana; ikiwa ni ufalme, ukubwa, utawala au mamlaka. Mungu aliumba vyote kwa njia yake na kwa ajili yake.
Explore Wakolosayi 1:16
3
Wakolosayi 1:17
Kristo alikuwa yuko mbele vitu vyote havijakuwa, na kwa njia ya kuungana naye vyote vinashikamana.
Explore Wakolosayi 1:17
4
Wakolosayi 1:15
Kristo ni mufano kamili wa Mungu asiyeonekana. Yeye ni muzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
Explore Wakolosayi 1:15
5
Wakolosayi 1:9-10
Kwa sababu hii hatuchoki kuwaombea ninyi, tangu siku tuliposikia habari zenu. Tunamwomba Mungu awawezeshe kujua kabisa mapenzi yake na kuwajaza hekima na akili inayotoka kwa Roho wake. Hivi, mutaweza kuishi sawa Bwana anavyotaka na kumupendeza katika mambo yote. Kwa njia hiyo mutafikia kufanya matendo mema ya kila namna na kuzidi kumujua Mungu.
Explore Wakolosayi 1:9-10
Home
Bible
Plans
Videos