1
Marko 11:24
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ni kwa hiyo ninawaambia kwamba munapoomba kwa ajili ya hitaji la kitu fulani, mwamini kama mumekwisha kukipokea, na kwa njia hiyo mutakipewa.
Compare
Explore Marko 11:24
2
Marko 11:23
Kweli ninawaambia: ‘Mutu anaweza kuuambia mulima huu kwamba uondoke hapa na kujitupa katika bahari.’ Na ikiwa anasema maneno yale bila shaka katika moyo wake, lakini akiamini kama jambo lile litafanyika, hakika litafanyika kwake.
Explore Marko 11:23
3
Marko 11:25
Na munaposimama kwa kuomba, mukiwa na neno na mutu mwingine, mumusamehe, kusudi Baba yenu anayekuwa mbinguni, awasamehe vilevile makosa yenu. [
Explore Marko 11:25
4
Marko 11:22
Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Mumwamini Mungu.
Explore Marko 11:22
5
Marko 11:17
Kisha akawafundisha maneno haya: “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya maombi kwa mataifa yote.’ Lakini ninyi mumeigeuza kuwa nafasi ya kukutania ya wanyanganyi!”
Explore Marko 11:17
6
Marko 11:9
Watu waliotangulia mbele ya Yesu na wale waliofuata nyuma yake wakaanza kulalamika kwa sauti kubwa, wakisema: “Mungu asifiwe! Abarikiwe huyu anayekuja kwa jina la Bwana!
Explore Marko 11:9
7
Marko 11:10
Ubarikiwe ufalme unaokuja, ndio ufalme wa babu yetu Daudi! Mungu asifiwe juu mbinguni!”
Explore Marko 11:10
Home
Bible
Plans
Videos