1
Marko 10:45
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa maana hata Mwana wa Mutu hakuja kutumikiwa, lakini kutumika na kutoa maisha yake kusudi awakomboe watu wengi.”
Compare
Explore Marko 10:45
2
Marko 10:27
Yesu akawaangalia na kuwaambia: “Kwa mwanadamu haiwezekani, lakini kwa Mungu si vile, kwa maana mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”
Explore Marko 10:27
3
Marko 10:52
Yesu akamwambia: “Ujiendee, imani yako imekuponyesha.” Na pale pale akapata kuona, na kumufuata Yesu katika njia.
Explore Marko 10:52
4
Marko 10:9
Basi mutu asitenganishe kile Mungu alichokiunganisha.”
Explore Marko 10:9
5
Marko 10:21
Yesu akamwangalia kwa upendo, akamwambia: “Unakosewa na kitu kimoja tu: kwenda uuzishe vitu vyote unavyokuwa navyo, na uwape wamasikini mali zile, nawe utakuwa na akiba mbinguni. Kisha urudi, unifuate!”
Explore Marko 10:21
6
Marko 10:51
Yesu akamwuliza: “Unataka nikufanyie nini?” Yule kipofu akamujibu: “Mwalimu, ninataka nipate kuona.”
Explore Marko 10:51
7
Marko 10:43
Lakini isikuwe hivi katikati yenu. Anayetaka kuwa mukubwa kati yenu, sherti akuwe mutumishi wenu.
Explore Marko 10:43
8
Marko 10:15
Kweli ninawaambia ninyi: mutu yeyote asiyepokea Ufalme wa Mungu kama mutoto mudogo, hawezi kuingia ndani yake hata kidogo.”
Explore Marko 10:15
9
Marko 10:31
Lakini wengi wanaokuwa wa kwanza watakuwa wa mwisho, na wengi wanaokuwa wa mwisho watakuwa wa kwanza.”
Explore Marko 10:31
10
Marko 10:6-8
Lakini wakati Mungu alipowaumba watu wa kwanza, aliwaumba mwanaume na mwanamuke. Kwa sababu hii, mutu atawaacha baba yake na mama yake na kuungana na muke wake, nao wawili watakuwa mwili mumoja. Hivi wao si wawili tena, lakini wanakuwa mumoja.
Explore Marko 10:6-8
Home
Bible
Plans
Videos