Marko 10:6-8
Marko 10:6-8 SWC02
Lakini wakati Mungu alipowaumba watu wa kwanza, aliwaumba mwanaume na mwanamuke. Kwa sababu hii, mutu atawaacha baba yake na mama yake na kuungana na muke wake, nao wawili watakuwa mwili mumoja. Hivi wao si wawili tena, lakini wanakuwa mumoja.





