1
Matayo 9:37-38
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Halafu akawaambia wanafunzi wake: “Mavuno ni mengi, lakini wavunaji ni wachache. Basi muombe Bwana mwenyeji wa mavuno awatume wavunaji wengine kwa kuvuna mavuno yake.”
Compare
Explore Matayo 9:37-38
2
Matayo 9:13
Muende kujifunza maana ya Maandiko Matakatifu yanayosema: ‘Ninataka huruma, lakini si sadaka zenu.’ Kwa maana sikukuja kuwaita wenye haki kunifuata, lakini watenda mabaya.”
Explore Matayo 9:13
3
Matayo 9:36
Yesu alipoona kundi la watu, aliwasikilia huruma, kwa maana walikuwa wamesumbuka na kuregea, kama kondoo wasiokuwa na muchungaji.
Explore Matayo 9:36
4
Matayo 9:12
Lakini Yesu alisikia vile walivyosema, na kwa hiyo akawaambia: “Wenye afya nzuri hawahitaji muganga lakini wale wanaokuwa wagonjwa.
Explore Matayo 9:12
5
Matayo 9:35
Yesu alizunguka katika miji na vijiji vyote, akiwafundisha watu katika nyumba zao za kuabudia, akiwahubiri Habari Njema ya Ufalme. Aliponyesha magonjwa yote na uzaifu wa kila namna.
Explore Matayo 9:35
Home
Bible
Plans
Videos