1
Matayo 11:28
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
“Mukuje kwangu ninyi wote munaosumbuka na kulemewa na mizigo mizito, nami nitawapumzisha.
Compare
Explore Matayo 11:28
2
Matayo 11:29
Mukubali kuongozwa nami kama vile ngombe dume anayefungiwa nira, nanyi mufuate mafundisho yangu maana mimi ni mupole na munyenyekevu. Kwa hiyo mutapumzika.
Explore Matayo 11:29
3
Matayo 11:30
Nira yangu si nzito, nao muzigo nitakaowabebesha ni mwepesi.”
Explore Matayo 11:30
4
Matayo 11:27
“Baba yangu ameweka vitu vyote katika mikono yangu. Hakuna mutu anayemujua Mwana isipokuwa Baba, wala hakuna anayemujua Baba isipokuwa Mwana, na yeyote Mwana anayetaka kumujulisha kwake.
Explore Matayo 11:27
5
Matayo 11:4-5
Yesu akawajibu: “Mwende kumwelezea Yoane mambo munayosikia na kuyaona: vipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanapata kusikia, wafu wanafufuliwa na Habari Njema inahubiriwa kwa wamasikini.
Explore Matayo 11:4-5
6
Matayo 11:15
Mwenye kuwa na masikio ya kusikia, asikie!
Explore Matayo 11:15
Home
Bible
Plans
Videos