1
Matayo 12:36-37
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
“Ninawaambia wazi kwamba kwa Siku ya hukumu, watu watasamba kila neno lisilokuwa na maana walilosema. Kwa maana kila mutu atapata sheria au kupata azabu kufuatana na maneno yake.”
Compare
Explore Matayo 12:36-37
2
Matayo 12:34
Ninyi kikundi cha nyoka! Namna gani ninyi munaokuwa wabaya, munaweza kusema maneno mazuri? Kwa maana kinywa kinasema maneno yanayojaa ndani ya moyo.
Explore Matayo 12:34
3
Matayo 12:35
Mutu muzuri anatwaa vitu vizuri toka ndani ya akiba yake nzuri, naye mutu mubaya anatwaa vitu vibaya toka ndani ya akiba yake mbaya.
Explore Matayo 12:35
4
Matayo 12:31
Kwa hiyo ninawaambia: watu wataweza kusamehewa zambi zote wanazofanya na matusi yao yote. Lakini mutu anayetukana Roho Mutakatifu hatasamehewa.
Explore Matayo 12:31
5
Matayo 12:33
“Muti ukiwa muzuri, matunda yake yatakuwa mazuri vilevile; nao muti ukiwa mubaya, matunda yake yatakuwa mabaya vilevile. Kwa maana muti unatambulikana kwa matunda yake.
Explore Matayo 12:33
Home
Bible
Plans
Videos