Kama vile mvua na teluji inavyoshuka toka mbinguni,
wala hairudi kule lakini inalowanisha udongo,
kuuzalisha na kuchipukiza mimea,
na kumupatia mupandaji mbegu na kuwapa watu chakula,
ni vilevile na neno langu mimi:
halitanirudilia bila mafanikio,
lakini litatimiza mapenzi yangu,
litafikia shabaha nililoliwekea.