1
Isaya 12:2
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mungu ndiye mwenye kuniokoa, nitamutegemea yeye, wala sitaogopa; Yawe ananijalia nguvu; yeye mwenyewe ndiye anayeniokoa.
Compare
Explore Isaya 12:2
2
Isaya 12:3
Mutachota maji kwa furaha kutoka visima vya wokovu.
Explore Isaya 12:3
3
Isaya 12:5
Mumwimbie Yawe sifa maana ametenda mambo makubwa; haya yajulikane katika dunia yote.
Explore Isaya 12:5
4
Isaya 12:4
Siku hiyo mutasema: Mumushukuru Yawe, muombe kwa jina lake. Mujulishe kwa mataifa matendo yake, mutangaze kuwa jina lake limetukuzwa.
Explore Isaya 12:4
5
Isaya 12:1
Siku hiyo mutasema: Ninakushukuru, ee Yawe, maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako imetoweka, nawe umenifariji.
Explore Isaya 12:1
6
Isaya 12:6
Mupige vigelegele na kuimba kwa furaha, enyi wakaaji wa Sayuni, maana Mutakatifu wa Israeli ni makubwa kati yenu.
Explore Isaya 12:6