1
Isaya 11:2-3
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Roho wa Yawe atakaa kwake, Roho wa hekima na maarifa, Roho wa shauri jema na nguvu, Roho wa akili na utii wa Mungu. Furaha yake itakuwa kumutii Yawe. Hatatoa hukumu kulingana na yale anayoona, wala kuamua kufuatana na yale anayosikia.
Compare
Explore Isaya 11:2-3
2
Isaya 11:1
Kutatokea chipukizi katika shina la Yese, tawi litachipuka toka mizizi yake.
Explore Isaya 11:1
3
Isaya 11:4
Atawaamulia wamasikini kwa haki na kutetea haki za wakosefu katika inchi. Kwa neno lake dunia itaazibiwa, kwa pumzi yake waovu watauawa.
Explore Isaya 11:4
4
Isaya 11:5
Haki itakuwa kama mukaba wa kujifunga, uaminifu utakuwa kama mukaba kwenye kiuno chake.
Explore Isaya 11:5
5
Isaya 11:9
Katika mulima mutakatifu wa Mungu hakutakuwa ubaya wala uharibifu. Maana kumujua Yawe kutaenea pote katika inchi, kama vile maji yanavyojaa katika bahari.
Explore Isaya 11:9
6
Isaya 11:6
Imbwa wa pori ataishi pamoja na mwana-kondoo, chui atapumzika pamoja na mwana-mbuzi. Wana-ngombe na wana-simba watakula pamoja, na mutoto mudogo atawaongoza.
Explore Isaya 11:6
7
Isaya 11:10
Siku ile chipukizi wa Yese atakuwa kitambulisho kwa mataifa; mataifa yatamutafuta na makao yake yatatukuka.
Explore Isaya 11:10