1
Kutoka 1:17
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini kwa sababu wazalishaji wale walimwogopa Mungu, hawakufanya kama vile walivyoamuriwa na mufalme, lakini waliwaacha watoto wanaume wa Waisraeli waishi.
Compare
Explore Kutoka 1:17
2
Kutoka 1:12
Lakini kadiri walivyoteswa ndivyo Waisraeli walivyozidi kuongezeka na kuenea katika inchi. Hivyo Wamisri wakawaogopa sana watu wa Israeli.
Explore Kutoka 1:12
3
Kutoka 1:21
Na kwa sababu wazalishaji wale walimwogopa Mungu, Mungu akawajalia kupata jamaa zao wenyewe.
Explore Kutoka 1:21
4
Kutoka 1:8
Basi, kukatokea mufalme mwingine kule Misri ambaye hakumujua Yosefu.
Explore Kutoka 1:8
Home
Bible
Plans
Videos