1
Muhubiri 6:9
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Hayo nayo ni bure sawa na kutaka kumata upepo. Afazali kufurahia kitu ambacho uko nacho kuliko kuhangaika kwa kutamani kitu kingine.
Compare
Explore Muhubiri 6:9
2
Muhubiri 6:10
Kila kitu kinachotukia kilikwisha kupangwa tangu zamani. Hali ya mwanadamu inajulikana, na tunajua kwamba muzaifu hawezi kubishana na mutu mwenye nguvu zaidi.
Explore Muhubiri 6:10
3
Muhubiri 6:2
Mungu anamujalia mutu utajiri, mali na heshima, hata hakosewi kitu chochote anachotamani, lakini hamupi uwezo wa kuvifurahia vitu hivyo. Pahali pake, mugeni fulani atavifaidia. Hayo nayo ni bure. Ni jambo la mateso mabaya.
Explore Muhubiri 6:2
4
Muhubiri 6:7
Mutu anatoa jasho kwa ajili ya kupata chakula, lakini tamaa yake ya kula haitoshelezwi hata kidogo.
Explore Muhubiri 6:7