1
Muhubiri 5:2
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kadiri mutu anavyohangaika zaidi, ndivyo atakavyoota ndoto; sauti ya mupumbafu ni maneno mengi.
Compare
Explore Muhubiri 5:2
2
Muhubiri 5:19
Na kwa kuwa Mungu amemuruhusu kuwa na furaha, mwanadamu hatakuwa na wasiwasi mwingi juu ya maisha yake mafupi.
Explore Muhubiri 5:19
3
Muhubiri 5:10
Mali ikiongezeka, wale watakaoikula wanaongezeka vilevile, naye mwenye mali inamufalia nini isipokuwa kuiangalia tu mali yake?
Explore Muhubiri 5:10
4
Muhubiri 5:1
Fikiri mbele ya kusema, wala usikuwe mwepesi kwa kusema neno lolote mbele ya Mungu, kwa maana Mungu yuko mbinguni na wewe uko katika dunia. Kwa hiyo usiseme maneno mengi.
Explore Muhubiri 5:1
5
Muhubiri 5:4
Ni afazali usifanye ahadi kuliko kufanya ahadi kisha usiitimize.
Explore Muhubiri 5:4
6
Muhubiri 5:5
Angalia kinywa chako kisikuingize katika zambi, halafu ikupase kumwambia mujumbe wa Mungu kwamba haukukusudia kutenda zambi. Kwa nini kumusukuma Mungu akukasirikie na kuiharibu kazi yako?
Explore Muhubiri 5:5
7
Muhubiri 5:12
Tena, nimeona jambo moja ovu sana chini ya jua: mutu alijikusanyia mali, ikakuwa hatari kwake.
Explore Muhubiri 5:12
8
Muhubiri 5:15
Hili nalo ni jambo baya sana. Atarudi kama vile alivyokuja. Amepata faida gani? Ametoa jasho kwa kukamata upepo.
Explore Muhubiri 5:15