1
Muhubiri 4:9-10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ni afazali kuwa wawili kuliko mutu kuwa peke yake. Kwa sababu wawili watapata matunda ya jasho yao. Na mumoja akianguka, huyo mwenzake atamusimamisha. Lakini ole wake mutu anayekuwa peke yake akianguka! Huyo hatakuwa na mutu wa kumusimamisha!
Compare
Explore Muhubiri 4:9-10
2
Muhubiri 4:12
Mutu akiwa peke yake anaweza kushindwa na adui, lakini wakiwa wawili watashinda adui. Kamba tatu zikisokotwa pamoja hazikatiki upesi.
Explore Muhubiri 4:12
3
Muhubiri 4:11
Vilevile watu wawili wakilala pamoja watapata joto. Lakini mutu akiwa peke yake atajipatia joto namna gani?
Explore Muhubiri 4:11
4
Muhubiri 4:6
Ni afazali kuwa na kidogo tu, pamoja na amani ndani ya moyo, kuliko kutoa jasho kwa ajili ya kukamata upepo.
Explore Muhubiri 4:6
5
Muhubiri 4:4
Tena nilitambua kwamba mutu anatoa jasho na kutumia ujuzi wake juu ya wivu tu kwa mwenzake. Hayo nayo ni bure sawa na kutaka kukamata upepo.
Explore Muhubiri 4:4
6
Muhubiri 4:13
Afazali kijana masikini mwenye hekima kuliko mufalme muzee mupumbafu, ambaye hasikilizi shauri jema
Explore Muhubiri 4:13