1
Muhubiri 12:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nyuma ya hayo yote yaliyokwisha kusemwa, kungali hili linalotakiwa: Umwogope Mungu, na ushike amri zake, kwa sababu hayo ndiyo mapaswa ya mwanadamu.
Compare
Explore Muhubiri 12:13
2
Muhubiri 12:14
Maana, Mungu atahukumu matendo yote, hata yale yanayotendwa kwa siri, yakuwe mazuri au mabaya.
Explore Muhubiri 12:14
3
Muhubiri 12:1-2
Ukumbuke Muumba wako siku za ujana wako wakati hazijafika siku mbaya wala haijakaribia miaka utakaposema: “Sina furaha katika vitu hivyo.” Kwa wakati huu wa nyuma, jua, mwangaza, mwezi na nyota hazionekani tena, mawingu yanarudia nyuma ya mvua
Explore Muhubiri 12:1-2
4
Muhubiri 12:6-7
uzi wa feza unakatika kikombe cha zahabu kinapondekana, mutungi wa maji unavunjikia kwenye chemichemi, gurudumu la kukokota maji linavunjika kwenye kisima, mavumbi yanarudilia inchi tena, na roho inamurudilia Mungu aliyeipana.
Explore Muhubiri 12:6-7
5
Muhubiri 12:8
Muhubiri anasema hivi: Bure, bure kabisa. Vyote ni bure.
Explore Muhubiri 12:8