1
Muhubiri 11:9
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ewe kijana, furahia ujana wako, moyo wako ukuwe na raha wakati ungali kijana. Fuata mapenzi ya moyo wako na tamaa ya macho yako. Lakini kumbuka kwamba Mungu atakuhukumu kadiri ya hayo yote.
Compare
Explore Muhubiri 11:9
2
Muhubiri 11:10
Ondoa mahangaiko ndani ya moyo wako, ujikinge usipate maumivu katika mwili kwa sababu ujana na nguvu vinapita mbio.
Explore Muhubiri 11:10
3
Muhubiri 11:4
Anayechunguza upepo hatapanda mbegu, anayeangalia mawingu yatoweke, hatavuna kitu.
Explore Muhubiri 11:4
4
Muhubiri 11:5
Kama vile hauwezi kujua jinsi uzima unavyoingia katika mifupa ya mutoto katika tumbo la mama yake, vilevile hauwezi kuelewa matendo ya Mungu, aliyefanya kila kitu.
Explore Muhubiri 11:5
5
Muhubiri 11:6
Panda mbegu asubui na usiache kupanda mpaka magaribi, maana, haujui mbegu gani zitaota; za asubui, za magaribi, au zote zitakuwa nzuri.
Explore Muhubiri 11:6
6
Muhubiri 11:2
Gawa sehemu moja kwa watu saba hata wanane, maana, haujui hasara itakayofika katika dunia.
Explore Muhubiri 11:2