YouVersion Logo
Search Icon

Muhubiri 12:6-7

Muhubiri 12:6-7 SWC02

uzi wa feza unakatika kikombe cha zahabu kinapondekana, mutungi wa maji unavunjikia kwenye chemichemi, gurudumu la kukokota maji linavunjika kwenye kisima, mavumbi yanarudilia inchi tena, na roho inamurudilia Mungu aliyeipana.