1
Muhubiri 10:10
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nguvu nyingi zaidi zinahitajika kwa mutumiaji wa shoka lisilonolewa, lakini kutumia hekima kunamufanya mutu afanikiwe.
Compare
Explore Muhubiri 10:10
2
Muhubiri 10:4
Mutawala akikukasirikia, usiache kazi; makosa makubwa yanaweza kufutwa ukiwa munyenyekevu.
Explore Muhubiri 10:4
3
Muhubiri 10:1
Mainzi waliokufa wanaharibu na kunukisha marasi; upumbafu kidogo unapoteza hekima na heshima.
Explore Muhubiri 10:1
4
Muhubiri 10:12
Maneno ya mwenye hekima yanamupa upendeleo; lakini maneno ya mupumbafu yanamwangamiza.
Explore Muhubiri 10:12
5
Muhubiri 10:8
Yeye anayechimba shimo anatumbukia ndani yake mwenyewe, anayebomoa ukuta anaumwa na nyoka.
Explore Muhubiri 10:8