1
2 Timoteo 2:15
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Ufanye juhudi kusudi upate kuhesabiwa mbele ya Mungu kama mutu anayemupendeza, ukiwa kama mutumishi asiyesikia haya juu ya kazi yake, lakini anayetangaza kwa haki ujumbe wa kweli wa Mungu.
Compare
Explore 2 Timoteo 2:15
2
2 Timoteo 2:22
Ujiepushe na tamaa za ujana, utafute kuishi katika haki, imani, upendo na amani pamoja na watu wote wanaomwabudu Bwana kwa moyo safi.
Explore 2 Timoteo 2:22
3
2 Timoteo 2:24
Basi, mutumishi wa Bwana hapaswi kugombana. Anapaswa kuwa mupole kwa watu wote, anayejua kufundisha na muvumilivu.
Explore 2 Timoteo 2:24
4
2 Timoteo 2:13
Kama tunakosa kuwa waaminifu, yeye anabaki mwaminifu. Kwa maana hawezi kujikana yeye mwenyewe.
Explore 2 Timoteo 2:13
5
2 Timoteo 2:25
Anapaswa kuwaonya kwa upole wale wanaopingana naye; kwa maana labda Mungu anaweza kuwajalia hata wapate kugeuka toka zambi na kutambua ukweli.
Explore 2 Timoteo 2:25
6
2 Timoteo 2:16
Uepuke masemi yasiyokuwa na maana na ya kidunia, kwa maana wale wanaoyafuata wanazidi kupotoka katika ibada ya uongo.
Explore 2 Timoteo 2:16
Home
Bible
Plans
Videos