1
2 Timoteo 1:7
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kwa maana Mungu hakutupatia sisi Roho wa kuogopa, lakini Roho anayetupatia nguvu, upendo na kujizuiza.
Compare
Explore 2 Timoteo 1:7
2
2 Timoteo 1:9
Yeye ndiye aliyetuokoa na kutuita kuwa watu wake, si kwa sababu ya matendo lakini ni kwa sababu ya mupango wake mwenyewe na neema yake aliyotupatia katika kuungana na Kristo Yesu mbele ya nyakati zote.
Explore 2 Timoteo 1:9
3
2 Timoteo 1:6
Kwa sababu hii ninakukumbusha uchochee zawadi ya Mungu uliyoipokea nilipoweka mikono juu yako.
Explore 2 Timoteo 1:6
4
2 Timoteo 1:8
Basi, usisikie haya ya kutoa ushuhuda kwa ajili ya Bwana wetu, wala usisikie haya kwa sababu yangu mimi ninayekuwa katika kifungo kwa ajili yake. Lakini ushiriki nami katika mateso kwa ajili ya Habari Njema, kufuatana na uwezo unaopewa na Mungu.
Explore 2 Timoteo 1:8
5
2 Timoteo 1:12
na kwa sababu hiyo ninapata mateso haya. Lakini sisikii haya kwa ajili ya ile. Maana ninajua ni nani yule niliyemwamini, nami ninahakikisha kwamba anaweza kuchunga kile alichonipa kwa kunilinda mpaka Siku ile ya kurudi kwake.
Explore 2 Timoteo 1:12
Home
Bible
Plans
Videos