1
1 Timoteo 6:12
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Upigane vita nzuri kwa kuchunga imani yako, upate kujitwalia uzima wa milele Mungu aliokuitia wakati ulipoitikia imani yako mbele ya washuhuda wengi.
Compare
Explore 1 Timoteo 6:12
2
1 Timoteo 6:10
Kwa maana kupenda feza ni shina la mabaya yote. Kwa ajili ya kuzitamani watu wamoja wanaanguka katika imani yao, na wanajiumiza mioyo wakijiletea huzuni nyingi.
Explore 1 Timoteo 6:10
3
1 Timoteo 6:6
Hakika, dini ni pato kubwa kwa mutu kama anafurahia vitu anavyokuwa navyo.
Explore 1 Timoteo 6:6
4
1 Timoteo 6:7
Kwa maana hatukuleta kitu katika dunia wala hatuwezi kurudia na kitu.
Explore 1 Timoteo 6:7
5
1 Timoteo 6:17
Uwaagize wale wanaokuwa watajiri katika dunia hii ya sasa wasijivune, vilevile wasiweke matumaini yao katika mali inayotoweka upesi. Lakini wamutumainie Mungu anayetupatia vitu vyote kwa uwingi kusudi tufurahiwe navyo.
Explore 1 Timoteo 6:17
6
1 Timoteo 6:9
Lakini wale wanaotaka kuwa watajiri wanaanguka katika majaribu na mitego, na katika tamaa nyingi za upumbafu na mabaya zinazowatumbukiza katika anguko na uharibifu.
Explore 1 Timoteo 6:9
7
1 Timoteo 6:18-19
Uwaagize watende mema, wakuwe watajiri katika matendo mazuri, nao wasaidiane kwa moyo safi na kushiriki mali yao na wengine. Kwa njia hii, watajiwekea akiba nzuri na yenye kudumu kwa ajili ya siku zitakazokuja kusudi wapate uzima wa kweli.
Explore 1 Timoteo 6:18-19
Home
Bible
Plans
Videos