1
1 Samweli 20:42
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Halafu Yonatani akamwambia Daudi: “Uende na amani. Tumekwisha wote kuapa kwa jina la Yawe kwamba Yawe akuwe mushuhuda kati yetu milele, na kati ya wazao wangu na wazao wako milele.”
Compare
Explore 1 Samweli 20:42
2
1 Samweli 20:17
Kwa mara ingine tena, Yonatani alimwambia Daudi aape kulingana na upendo wake kwake yeye Yonatani, maana alimupenda Daudi kama vile anavyojipenda yeye mwenyewe.
Explore 1 Samweli 20:17