1
1 Yoane 5:14
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nasi tuko na tumaini hili mbele ya Mungu: tunajua kwamba atatusikiliza tukimwomba kitu chochote kufuatana na mapenzi yake.
Compare
Explore 1 Yoane 5:14
2
1 Yoane 5:15
Basi, ikiwa tunajua kwamba anatusikiliza wakati tunapomwomba, tunajua vilevile kwamba anatupatia chochote tulichomwomba.
Explore 1 Yoane 5:15
3
1 Yoane 5:3-4
Kwa maana kumupenda Mungu ni kutii amri zake. Na amri zake si ngumu, kwa sababu kila mutoto wa Mungu anashinda dunia. Tunashinda dunia kwa njia ya imani yetu.
Explore 1 Yoane 5:3-4
4
1 Yoane 5:12
Yule anayekuwa na Mwana wa Mungu yuko na uzima ule, lakini yule asiyekuwa na Mwana wa Mungu hana uzima.
Explore 1 Yoane 5:12
5
1 Yoane 5:13
Ninawaandikia maneno yale, ninyi wenye kuamini kwa jina la Mwana wa Mungu, mupate kujua kwamba muko na uzima wa milele.
Explore 1 Yoane 5:13
6
1 Yoane 5:18
Tunajua kwamba kila mutoto wa Mungu hafanyi zambi, kwa maana Mwana wa Mungu anamulinda, wala yule Mwovu hawezi kumugusa.
Explore 1 Yoane 5:18
Home
Bible
Plans
Videos