1
2 Yoane 1:6
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Na upendo ni kuishi katika kutii amri za Mungu. Hii ndiyo ile amri muliyoisikia tangu mwanzo: muishi katika upendo.
Compare
Explore 2 Yoane 1:6
2
2 Yoane 1:9
Kila mutu atakayeenda mbali na asiyedumu katika mafundisho ya Kristo, mutu yule hashirikiani na Mungu. Lakini yule anayedumu katika mafundisho yale, anashirikiana na Baba na Mwana vilevile.
Explore 2 Yoane 1:9
3
2 Yoane 1:8
Basi, mujiangalie wenyewe, kusudi musipoteze matunda ya kazi yenu, lakini mupokee zawadi kamili.
Explore 2 Yoane 1:8
4
2 Yoane 1:7
Kwa maana wadanganyifu wengi wametokea katika dunia. Watu hawa hawakubali kwamba Yesu Kristo amekuja katika mwili wa kimutu. Yule asiyekubali vile ni mudanganyifu na mupinga Kristo.
Explore 2 Yoane 1:7
Home
Bible
Plans
Videos