1
Yoshua 6:2
Neno: Bibilia Takatifu 2025
NENO
Kisha BWANA akamwambia Yoshua, “Tazama, nimeitia Yeriko mikononi mwako, pamoja na mfalme wake na wapiganaji wake.
Compare
Explore Yoshua 6:2
2
Yoshua 6:5
Utakapowasikia wamepaliza sauti kubwa ya baragumu, watu wote wapige kelele kwa sauti kuu, kisha ukuta wa mji utaanguka na wapiganaji watapanda, kila mtu akielekea mbele yake.”
Explore Yoshua 6:5
3
Yoshua 6:3
Zunguka mji mara moja pamoja na watu wote wenye silaha. Fanya hivi kwa siku sita.
Explore Yoshua 6:3
4
Yoshua 6:4
Uwe na makuhani saba wakibeba mabaragumu ya pembe za kondoo dume mbele ya Sanduku. Siku ya saba, mzunguke mji mara saba, nao makuhani wakipiga baragumu hizo.
Explore Yoshua 6:4
5
Yoshua 6:1
Basi malango ya Yeriko yalifungwa kwa uthabiti kwa sababu ya Waisraeli. Hakuna mtu yeyote aliyetoka au kuingia.
Explore Yoshua 6:1
6
Yoshua 6:16
Walipouzunguka mara ya saba, makuhani walipiga baragumu kwa sauti kubwa, naye Yoshua akawaamuru watu akisema, “Pigeni kelele! Kwa maana BWANA amewapa mji huu!
Explore Yoshua 6:16
7
Yoshua 6:17
Mji huu pamoja na vyote vilivyomo utatengewa BWANA kwa ajili ya kuangamizwa. Rahabu yule kahaba atasalimishwa, pamoja na wote walio naye nyumbani mwake, kwa sababu aliwaficha wale wapelelezi tuliowatuma.
Explore Yoshua 6:17
Home
Bible
Plans
Videos