1
Mwanzo 9:12-13
Biblia Habari Njema
BHN
Tena Mungu akasema, “Hii ndiyo alama ya agano ninalofanya kati yangu nanyi na kila kiumbe hai kilicho pamoja nanyi kwa vizazi vyote vijavyo. Naweka upinde wangu mawinguni, nao utakuwa ishara ya agano kati yangu na dunia.
So sánh
Khám phá Mwanzo 9:12-13
2
Mwanzo 9:16
Huo upinde utakapotokea mawinguni, nitauona na kulikumbuka agano hilo la milele kati yangu na viumbe vyote hai duniani.”
Khám phá Mwanzo 9:16
3
Mwanzo 9:6
Amwagaye damu ya binadamu, damu yake itamwagwa na binadamu; maana binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu.
Khám phá Mwanzo 9:6
4
Mwanzo 9:1
Mungu akambariki Noa na wanawe, akiwaambia, “Zaeni, muongezeke, mkaijaze nchi.
Khám phá Mwanzo 9:1
5
Mwanzo 9:3
Wanyama wote hai watakuwa chakula chenu kama vile nilivyowapa mimea kuwa chakula chenu.
Khám phá Mwanzo 9:3
6
Mwanzo 9:2
Wanyama wote, ndege wote wa angani, viumbe wote watambaao juu ya nchi na samaki wote wa baharini watakuwa na hofu na kuwaogopa nyinyi. Wote wamewekwa chini ya mamlaka yenu.
Khám phá Mwanzo 9:2
7
Mwanzo 9:7
Nanyi zaeni, mkaongezeke; zaeni kwa wingi, mkaongezeke nchini.”
Khám phá Mwanzo 9:7