Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023Mfano

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023

SIKU 17 YA 30

Farao alijaribu kutawala Waebrania kwa njia ya kuwaua watoto wachanga wa kiume wakati wazaliwapo ili wasiongezeke. Lakini hila zake hazikufanikiwa kwa sababu ya ujasiri wa wakunga waliowasaidia wanawake wa Kiebrania wakati wa kujifungua. Wakunga hao walimcha Mungu; naye Mungu akawabariki wao na familia zao. Pamoja na kushindwa kwa mpango wa kwanza, Farao aliendelea kuagiza watu wake kuwatupa mtoni watoto wa kiume watakaozaliwa. Mpendwa, uwe makini, kwani shetani hachoki kuwasumbua watu wa Mungu.

siku 16siku 18

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023

Soma Biblia Kila Siku/Aprili 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Machi pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kat...

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha