Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023Mfano

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023

SIKU 18 YA 30

Wazazi wa Musa walioamua kumwasi Farao na kumficha mtoto wao ni wa kabila la Lawi. Waliposhindwa kumficha tena, walitengeneza kisafina cha manyasi, kilichopakwa lami ili kumhifadhi kando ya mto, huko wakimwacha Miriamu kumlinda. Mungu anamtumia binti Farao, ambaye anamhurumia mtoto aliyeachwa mtoni na kumwokoa. Binti Farao anamtafuta mwanamke wa kumnyonyesha kwa malipo na kuendelea kumlea mtoto kama wake mwenyewe. Hivyo bila kujua, binti Farao anatumikia mpango wa Mungu kuwaokoa watu wake.

siku 17siku 19

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku/ Aprili 2023

Soma Biblia Kila Siku/Aprili 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Machi pamoja na maelezo machache ya kukusaidia kuelewa zaidi neno ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kat...

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha