Soma Biblia Kila Siku 11/2020Mfano

Hapa tunakumbushwa tena juu ya nafasi nzuri tuliyopewa kama Wakristo kwa rehema zake Mungu. Tumepewa sifa kubwa za ajabu: Ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu ... ninyi mliokuwa kwanza si taifa, bali sasa ni taifa la Mungu (m.9-10). Lakini ni lazima pia tuelewe kwamba kwa nafasi hiyo tumepewa wito maalumu kwa maisha yetu! Yaani, tuwe mashahidi wa Yesu kwa maneno na matendo! Mpate kuzitangaza fadhili zake(m.9). Wayatazamapo matendo yenu mazuri, wamtukuze Mungu (m.12). Kwa kutenda mema mzibe vinywa vya ujinga vya watu wapumbavu(m.15); Waheshimuni watu wote(m.17).
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 11/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo, Mwanzo na 1 Petro. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Tungependa kuishukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Soma Biblia Kila Siku Februari 2021

Soma Biblia Kila Siku Mei 2021

Soma Biblia Kila Siku Juni 2021

Upendo Wa Bure

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo
