Soma Biblia Kila Siku 11/2020Mfano

Masihi, yaani Kristo, alisubiriwa na Waisraeli tangu muda mrefu. Alitazamiwa kuwa ataikomboa Israeli dhidi ya mateso yote. Maandiko yaliwaambia atakujaje na ataonekanaje. Ujio wake utaleta mapinduzi ya watu kuponywa magonjwa, kusamehewa dhambi na kubarikiwa kwa baraka mbalimbali. Lakini alipokuja hawakumtambua. Kwao Yesu alionekana ni mwana wa mtu tu wala si Mwana wa Mungu. Basi, ni vema kuendelea kukaa katika Neno la Mungu, ili ajapo, atukute tupo tayari kumpokea.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 11/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo, Mwanzo na 1 Petro. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Tungependa kuishukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Soma Biblia Kila Siku Februari 2021

Soma Biblia Kila Siku Mei 2021

Soma Biblia Kila Siku Juni 2021

Upendo Wa Bure

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo
