SOMA BIBLIA KILA SIKU 01/20Mfano

Licha ya watu wa Mungu kuambiwa kuwa wana heri katika mambo fulani, Yesu anaweka wazi kwamba kwa upande mwingine watakutana na hali ya kuwaumiza na kuwakatisha tamaa kutoka kwa wasioamini katika ulimwengu huu. Pamoja na hayo, wanatakiwa watambue kuwa wao wamewekwa kuwa nuru na chumvi ya ulimwengu. Maisha ya watu wa Mungu yanapoangaza, yanawafanya wengine wamtukuze Mungu. Ili kuwa mhubiri wa kweli wa Injili, ni sharti ujue kwamba umejitoa kwa kazi hii, na upo tayari hata kwa yale magumu yanayokupata kwa sababu ya kazi ya Mungu.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 01/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo, Kutoka, Zaburi na Isaya. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Anza mwaka wa 2020 kwa kujifunza Neno la Mungu kupitia mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Upendo Wa Bure

Soma Biblia Kila Siku Februari 2021

Soma Biblia Kila Siku Mei 2021

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

Soma Biblia Kila Siku 11/2020

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021
