SOMA BIBLIA KILA SIKU 01/20Mfano

Hali yetu ya kibinadamu inatufanya kuyaona zaidi makosa au udhaifu wa wengine. Hata tunakuwa wepesi wa kulaumu na kuwahukumu wengine. Neno la Mungu linatuonya kwamba anayeweza kuona na kutoa hukumu ya kweli ni Mungu mwenyewe, siyo mwanadamu. Na hapo ni lazima tujue kuwa maovu ya kila mtu yapo wazi mbele za Mungu. Na pia tufahamu kuwa Yesu anajua kuwa kuna wale wanaoliheshimu Neno la Mungu katika hali ya ukweli na ambao wanalidharau na kulitumia kwa malengo yao wenyewe. Basi, msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua(m.6).
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 01/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo, Kutoka, Zaburi na Isaya. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Anza mwaka wa 2020 kwa kujifunza Neno la Mungu kupitia mpango huu.
More
Tunapenda kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku Julai 2021

Upendo Wa Bure

Soma Biblia Kila Siku Februari 2021

Soma Biblia Kila Siku Mei 2021

Roho Mtakatifu - Tuna Uwezo Wa Kuwaka Moto Au La?

Soma Biblia Kila Siku 11/2020

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku Januari 2021

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021
