Soma Biblia Kila Siku 5Mfano

Bwana Yesu aja ([Bwana] apate kuifanya imara mioyo yenu iwe bila lawama katika utakatifu mbele za Mungu, Baba yetu, wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu pamoja na watakatifu wake wote; 3:13)! Hivyo Wakristo waonywa waishi maisha maadilifu. Mungu hutaka waumini watakaswe (m.3), kwa hiyo amewapa Roho Mtakatifu (m.8). Maana ya "kutakaswa"ni kutenganishwa na uovu (m.3 na 5f) ili tumtumikie Mungu kwa miili yetu kama chombo (m. 4). Hiyo ni kazi ya Mungu mwenyewe ndani yetu. Kwa hiyo si maisha yetu maadilifu yanayotustahilisha siku ya hukumu. Lakini huyu asiyetaka kutakaswa bali kudumu katika dhambi, humkataa Mungu na kujiweka chini ya hukumu yake (m.8 na 6).
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 5 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 8

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku 9

Soma Biblia Kila Siku 11

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!
