Soma Biblia Kila Siku 5Mfano

Nebukadreza alikiri ukuu wa Mungu wa Israeli (Mfalme akajibu, akamwambia Danieli, Hakika Mungu wenu ndiye Mungu wa miungu, na Bwana wa wafalme; 2:47), lakini imani yake haikuwa na matokeo. Alitengeneza sanamu ya dhahabu ili iabudiwe na watu wote. Ni tofauti na Danieli na wenzake. Walikataa kusujudia miungu, wasivunje amri ya kwanza ya Mungu. Hata msimamo wao ulipoikasirisha serikali, na wakaamrishwa kuangamizwa kwa moto, hawakuisaliti imani na ushuhuda wao. Waliamini Mungu atawaokoa; kama sivyo, walikuwa tayari kutupwa motoni (m.16-18). Usiruhusu mateso yakuondoe kwa Mungu.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 5 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 8

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku 9

Soma Biblia Kila Siku 11

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!
