Zaburi 73:11-12
Zaburi 73:11-12 Biblia Habari Njema (BHN)
Wanasema: “Mungu hawezi kujua! Mungu Mkuu hataweza kugundua!” Hivi ndivyo watu waovu walivyo; wana kila kitu na wanapata mali zaidi.
Shirikisha
Soma Zaburi 73Zaburi 73:11-12 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nao husema, Mungu ajuaje? Yako maarifa kwake aliye juu? Fahamu, ndivyo walivyo wasio haki, Na kwa kustarehe sikuzote wamepata mali nyingi.
Shirikisha
Soma Zaburi 73