Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zekaria 13:2

Zekaria 13:2 BHN

Wakati huo, nasema mimi Mwenyezi-Mungu wa majeshi, majina ya vinyago vya miungu nchini nitayaondoa, wala hayatakumbukwa tena. Na wanaojidai kuwa manabii nitawaondolea mbali pamoja na tamaa zao za kuabudu sanamu.

Soma Zekaria 13