Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 49:16-17

Zaburi 49:16-17 BHN

Usihangaike ukiona mtu anatajirika, wala mali yake ikiongezeka zaidi na zaidi. Maana atakapokufa hatachukua chochote, mali yake haitashuka huko chini pamoja naye.

Soma Zaburi 49