Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 36:6-7

Zaburi 36:6-7 BHN

Uadilifu wako ni kama milima mikubwa, hukumu zako ni kama vilindi vya bahari. Wewe, ee Mwenyezi-Mungu, wawalinda wanadamu na wanyama Jinsi gani zilivyo bora fadhili zako! Wanadamu hukimbilia kivulini mwa mabawa yako.

Soma Zaburi 36