Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Zaburi 20:1-2

Zaburi 20:1-2 BHN

Mwenyezi-Mungu akujibu uwapo taabuni; jina la Mungu wa Yakobo likulinde. Akupelekee msaada kutoka hekaluni mwake; akutegemeze kutoka mlima Siyoni.

Soma Zaburi 20