Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 28:8-10

Methali 28:8-10 BHN

Aongezaye mali yake kwa riba na kutoza faida anamkusanyia mwingine mwenye kuwahurumia maskini. Anayekataa kuisikia sheria, huyo hata sala yake ni chukizo kwa Mungu. Anayemshawishi mtu mwema kutenda mabaya, ataanguka katika shimo lake mwenyewe. Wasio na hatia wamewekewa mema yao.

Soma Methali 28