Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Mithali 28:8-10

Mithali 28:8-10 NENO

Yeye aongezaye utajiri wake kwa riba kubwa mno hukusanya kwa ajili ya mwingine, ambaye atawahurumia maskini. Mtu yeyote akikataa kusikia sheria, hata maombi yake ni chukizo. Yeye anayemwongoza mwenye haki kwenye mapito mabaya, ataanguka kwenye mtego wake mwenyewe, bali wasio na lawama watapokea urithi mwema.