Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Methali 24:11-12

Methali 24:11-12 BHN

Mwokoe mtu anayechukuliwa kuuawa bure; usisite kumwokoa anayeuawa bila hatia. Usiseme baadaye: “Hatukujua!” Maana Mungu apimaye mioyo ya watu huona; yeye atakulipa kulingana na matendo yako!

Soma Methali 24